Surah Al-Falaq in Swahili

    الفلق

    Surah Al-Falaq in Swahili

    Read Surah Al-Falaq in Swahili (الفلق) with Arabic text, Swahili translation, and audio recitation. Chapter 113 of the Holy Quran, 5 verses — free online.

    Quran in Swahili · all 114 Surahs

    1

    قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ

    Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, [1]

    [1] Sema najikinga na Mola Mlezi wa asubuhi inapo pambazuka kutokana na usiku.

    2

    مِن شَرِّ مَا خَلَقَ

    Na shari ya alivyo viumba, [2]

    [2] Na shari ya kila chenye shari katika viumbe, ambavyo hapana wa kuzuia shari yao ila Mwenye kumiliki amri yao.

    3

    وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ

    Na shari ya giza la usiku liingiapo, [3]

    [3] Na shari ya usiku unapo kuwa totoro.

    4

    وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ

    Na shari ya wanao pulizia mafundoni, [4]

    [4] Na shari ya anaye pita baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi.

    5

    وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

    Na shari ya hasidi anapo husudu. [5]

    [5] Na shari ya hasidi anaye tamani iondoke neema kwa wengine.

    Al-Falaq

    Play