Surah Al-Ikhlas in Swahili

    الإخلاص

    Surah Al-Ikhlas in Swahili

    Read Surah Al-Ikhlas in Swahili (الإخلاص) with Arabic text, Swahili translation, and audio recitation. Chapter 112 of the Holy Quran, 4 verses — free online.

    Quran in Swahili · all 114 Surahs

    1

    قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ

    Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]

    [1] Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.

    2

    ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ

    Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. [2]

    [2] Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.

    3

    لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ

    Hakuzaa wala hakuzaliwa. [3]

    [3] Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,

    4

    وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ

    Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. [4]

    [4] Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.

    Al-Ikhlas

    Play