قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]
[1] Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
الإخلاص
Read Surah Al-Ikhlas in Swahili (الإخلاص) with Arabic text, Swahili translation, and audio recitation. Chapter 112 of the Holy Quran, 4 verses — free online.
Quran in Swahili · all 114 Surahs
قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]
[1] Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. [2]
[2] Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
Hakuzaa wala hakuzaliwa. [3]
[3] Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. [4]
[4] Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.
Al-Ikhlas
Play