Surah Al-Maun in Swahili

    الماعون

    Surah Al-Maun in Swahili

    Read Surah Al-Maun in Swahili (الماعون) with Arabic text, Swahili translation, and audio recitation. Chapter 107 of the Holy Quran, 7 verses — free online.

    Quran in Swahili · all 114 Surahs

    1

    أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ

    Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo? [1]

    [1] Unamjua anaye kanusha malipo na hisabu ya Akhera?

    2

    فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ

    Huyo ndiye anaye msukuma yatima, [2]

    [2] Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,

    3

    وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ

    Wala hahimizi kumlisha masikini. [3]

    [3] Na wala hahimizi kulishwa masikini.

    4

    فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ

    Basi, ole wao wanao swali, [4]

    [4] Maangamio yatawashukia wanao sali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.

    5

    ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ

    Ambao wanapuuza Sala zao; [5]

    [5] Maangamio yatawashukia wanao swali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.

    6

    ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ

    Ambao wanajionyesha, [6]

    [6] Ambao huonyesha kwa watu vitendo vyao, ili wapate cheo katika nyoyo za hao watu, na wasifiwe.

    7

    وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ

    Nao huku wanazuia msaada. [7]

    [7] Na huku wanazuia hisani zao na msaada wao kwa watu

    Al-Maun

    Play